Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Jee wewe kama kiongozi wa juu was kanisa hukusikia malalamiko ya waumini kuhusu Makonda hadi uvae miwani ya mbao kuondoa aibu na kumsifu?
Jee sasa utasimama tena na kuwapinga Wamarekani wanaosema Makonda anapoteza maisha ya watu?
Piga magoti muombe Mungu akusamehe kwa kukubali kutumika na kutetea uovu.
Tumsifu Yesu Kristo!
Sent using Jamii Forums mobile app