Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,838
- 71,302
- Thread starter
- #21
Tena alimuonya kwa kutumia maneno ya kinyenyekevu mno mpaka unajua kabisa ni onyo lenye upako!
Lakini ndio hivyo, nguvu za yule muovu zikikutawala hata Yesu ana kwa ana mbele yako waweza kumwambia "achana nami we mtoto wa Seremala"