Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Hapa wa kulaumiwa ni CHADEMA, sababu kadi zilizonunuliwa ni chache sana,
hii ni ushahidi kwamba kadi zinazochapishwa ni CHAMA hiki ni chache na
hazitoshi mahitaji ya soko.
Nape anampango wa kuizunguka hii nchi nzima, hicho Chadema wanatakiwa
kuprint kadi nyingi zaidi za kuuza
hii ni ushahidi kwamba kadi zinazochapishwa ni CHAMA hiki ni chache na
hazitoshi mahitaji ya soko.
Nape anampango wa kuizunguka hii nchi nzima, hicho Chadema wanatakiwa
kuprint kadi nyingi zaidi za kuuza