Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,851
- 94,147
Ulishawahi kusikia chama chochote kina mwenyekiti Mtendaji?MTEI, MTEI, MTEI , MTEI. Huyu mzee anafikiri chama hiki bado ni chake, kila siku matamko ya ukabila tu na udini. Huyu mzee anakimaliza hiki chama jamani , kwetu sisi tunaoishi huku kaskazini minong'ono ni mingi sana juu ya huyu mzee.
Ili rupia ipenyezwe maana kwa sasa imeshindikana kupenya..Tatizo la CDM SLAA na MBOWE na si vinginevyo. Wapishe vijana waliokwisha wapika waendeleze chama.
Mbona mavazi yake yanaonyesha alikuwa ''gwanda'' au haya ni ya CCK(kama kipo hai) ama alivaa kupiga photo.Huyo Katibu wa CDM mbona anaonyesha kumfahamu sana kwamba hakuchukua kadi, alimtambuaje wakati hakuwa member?????.Hapa za Mbayuwayu changanya na zako.
Kumekuwa na vijitabia vya hovyo vya CDM, mtu akiwa kwao ''jembe'', akitoka hupachikwa majina ya hovyo sana.Inamaana kigezo cha kukubalika CDM ni kuwa Mwanachama milele na usitoke?.Chama kama kinavuna wanachama kutoka vyama vingine eg. CUF,TLP,CCM,ADC ama NCCR kikubali pia kupoteza wanachama wake.
Magamba nao wanakatabia haka ka ''oil chafu'' ila CDM wamezidi.Kama ndoa, watu wanaoana na kuzaa watoto kisha kuachana sembuse vyama.
ingia chama cha haki sawa kwa wote chama cha wananchi cuf
Hapa sasa mambo magumu,
Kila siku tuna changanywa sana wananchi, Utasikia CCM-MAFISADI/WALA RUSHWA......sasa hivi tena mnakuja na kutuambia tena CHADEMA-UKABILA/UDINI...
Sasa sisi tusio wadini, tusio wakabila , tusio wafisadi na tusio penda rushwa mtatuweka wapi......
Hapa sasa mambo magumu,
Kila siku tuna changanywa sana wananchi, Utasikia CCM-MAFISADI/WALA RUSHWA......sasa hivi tena mnakuja na kutuambia tena CHADEMA-UKABILA/UDINI...
Sasa sisi tusio wadini, tusio wakabila , tusio wafisadi na tusio penda rushwa mtatuweka wapi......
Lazima chadema ifanye hatua za haraka kubadilisha mwenendo wa viongozi wake wa juu hasa mbowe, slaa na zitto kabwe. Hawa wote kila mmoja wao anaongelewa tofauti na raia wa kawaida, Kwa watu makini wasikilize hotuba ya mzee nyimbo aliyoitoa akijiondoa chadema ni maneno mazito sana kuachwa hivi hivi, nachokiona imefika mahali kuna watu ndani ya uongozi wa juu wa chadema washajiona wao ni rais na mbaya zaidi wake zao wamejipa u first lady tayari, hii ni hatari sana.
Kazi kweli kweli,kweli Bongo kuna mizoga kama sio wagonjwa wa akili yaani huyu kajiunga juzi 30/October/2012,Post 13,Rep power 303,Likes received 2,likes given 1 sasa moja kwa moja napata picha huyu ndo kamaliza shle ya kata muda si mrefu.Kajiandae tena mkuu ili uje na issue yenye kueleweka hapo uliandika kwa kiswahili je kama ingekuwa Kiingereza sijui ingekuwaje.
By the way, ndani ya CHADEMA hakuna kitu kinaitwa 'Mwenyekiti Mtendaji'!!
Mtalia sana safari hii na bado, kila siku mnalia lia tu kwa bakora za chuma mnazo pigwa sasa, cdm kwishney !Hizo ni Propaganda huyo Mwekti mtendaji anayedai kuhama chadema hata hatumjuia hapa arusha, aondoke zake tu! Huyo Nyimbo nae hana nyimbo ameshajizeekea analinda maslahi yake CCM akafie mbele!
By the way, ndani ya CHADEMA hakuna kitu kinaitwa 'Mwenyekiti Mtendaji'!!
Aliyekuwa mwenyekiti mtendaji mkoa wa Arusha kupitia chama cha demokrasia na ma endeleo chadema James Ndarvoi