Huyu atakuwa ametolewa kafara na Magwanda. Alirubuniwa toka Dar mpaka Igunga??
Hakuna vijana Igunga mpaka muwarubuni machalii wa Dar?? POOR STRATEGIES.
CDM mnaangamiza roho za watu wasio na hatia buuure!.... Halafu bado inakula kwenu.
ALALE MAHALA PEMA.
Watu kama nyie pindi ukombozi kamili uliocheleweshwa utakapokuja ni wa kufungwa shingoni jiwe kubwa la kusagia na kuwatupa baharini mngali wazima.Kiherehere chake cha kujifanya anajua haki kimemponza.
Mungu ailaze roho ya marehemu panapostahili.
Amen!
Nina laani haya mauwaji! Nina imani BAKWATA watatoa tamko, isije kuwa wao ni kwenye mitandio tu
What is the right strategy by the way!? To train the so called green guide in Singida and send them to by election in Igunga to kill and frustrate people...!? Acha ukumbaf wewe! U can easly be idiot but hardly affod to be stupid! Wake up sister! Going this way will cost you a man to marry you. I wish you were a man like me!
Rudi shule. Sibishani na wajinga.
Muuaji mkubwa we ulaaniwe!Inawezekana cdm wamemua ili kupata public sympathy kama kawaida
Besides, I reserve my comments mpaka uchunguzi ufanyike..
Kwanini atolewe temeke aende mpaka igunga? wanatumika vijana very cheap
Inasikitisha sana kuona kiongozi anaingia madarakani kwa kumwaga damu za watu.najua the main suspect ni CCM,vile vitendo vilivyokuwa vinafanywa na greengurd chini ya maelekezo ya viongozi uchwara na mazuzu kama WASIRA,matokeo yake ndo haya.RIP kamanda.
Mkuu unajali spelling kukosewa kuliko maisha ya mtu yaliyopotea kwa sababu ya siasa za chuki zinazofadhiliwa na magamba ndani ya nchi ambayo na wewe unaishi, aibu yako !!!!!!!!!!!!!!!
Huyo aliyekubali kununuliwa na cdm (cheap amount) kwenda mpaka igunga na kuuliwa ili mpate public sympathy..
Ili mpate madaraka for you ill-intentions anahitaji elimu na kuondolewa upumbavu wake...
namsikitia zaidi kwakuwa hajui yeye ni muislam ni target group kwa cdm (kama walivyomfanya kwa hijab) Vijana wanatumika vibaya
Kuna siku iliandikwa humu kuwa diwani Nanyaro alitekwa na green guard alimrukia dereva hadi walipoachiwa huenda na huyu ni miongoni mwa watu waliotekwa ngoja tusuburi siri ndo zinaanza kufumuka jama tunaelekea pabaya Ee Mungu tuepushie mbali haya nchi yetu yaUna maana gani kuiondoa? Kama kwa sanduku la kura, sawa. Vinginevyo....PATACHIMBIKA.