GE2025 Kada wa CCM Hezroni Mtawa achukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Ileje

GE2025 Kada wa CCM Hezroni Mtawa achukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Ileje

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Kada wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Ileje Mkoani Songwe Hezroni Mtawa ambaye pia ni Mhadhiri Chuo Cha Mipango Dodoma amechukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Ileje.

Amekabidhiwa fomu hiyo mapema June 28,2025 na katibu wa chama hicho wilaya ya Ileje Hassan Lyamba ,huku akisema endapo atateuliwa na Chama chake kuwania nafasi ya ubunge atahakikisha anawatumikia wananchi wa Ileje kwa kuwaletea maendeleo.

1751262083633.png

1751262105974.png
 
Back
Top Bottom