PostGE2025 Kada wa CCM, Dkt. Marcossy: Udhaifu uliokuwa ndani ya CHADEMA ndiyo umefanya wasishiriki uchaguzi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Msikilize kada wa CCM, Dkt. Albanie Marcossy akieleza kwanini CHADEMA hawakushiriki uchaguzi Mkuu 2025 eti anadai "Udhaifu uliokuwa ndani ya CHADEMA ndiyo umefanya wasishiriki uchaguzi"

Soma: Dkt. Albanie: Polepole anataka kuharibu Uchaguzi, apuuzwe

Kweli CDM nidhaifu mbele ya CCM hii? ambayo inaogopa reforms ili kipute kipigwe bila makando kando. Watu kama hawa wanatakiwa wavuliwe na huo u-Dkt.

Your browser is not able to display this video.
 
Msengerema huyo udhaifu upi? Na kwan uchaguz umefanyka? Lissu na heche mbona walikuwa wanasema wazi kbs reforms zfanyke wao wako tyr kuingia kwny uchaguzi. Aisee odemba naye anazngua sasa kila wk yuko na makada wa maccm tu amualike john heche hapo tuone sasa..
 
Mchambuzi uchwara mwenye kichwa kama tikitiki maji.
 
Sahihi kabisa taangu mbowe aondolewe kimekua chama cha wahuni
 
Huyu fala nani asiyemjua? huyu naye ni wale wachumia tumbo wanaotegemea teuzi. Huyu takataka sijui ilikuwaje akapewa udokta......Vitabu vyake ni vya ovyo hakuna anayeweza kununua na kuvisoma. Ni mpumbavu.
 
Huyu fala nani asiyemjua? huyu naye ni wale wachumia tumbo wanaotegemea teuzi. Huyu takataka sijui ilikuwaje akapewa udokta......Vitabu vyake ni vya ovyo hakuna anayeweza kununua na kuvisoma. Ni mpumbavu.
Polee
 
Sahihi kabisa taangu mbowe aondolewe kimekua chama cha wahuni
Uko nje ya muda mzee, subiri tarehe 9 turudi barabarani kisha ipatikane mifumo halisi ya uchaguzi, utajua mlijidanganya kwa muda mrefu.
 
Na udhaifu wa kilichomo ndani ya kichwa chake ndio kimesababisha aseme haya 🐼
 
Hawa ndio wanaoaminiwa na ccm, na bado wanawashauri kwa uongo badala ya kuwaambia ukweli. Jana Odemba alikuwa anamuuliza maswali kisha anamuacha aampe majibu ayatakayo. Huyu anapaswa kuhojiwa ni kijana kama Khalifa wa The Chanzo TV mbona angekimbia?
 
Uko nje ya muda mzee, subiri tarehe 9 turudi barabarani kisha ipatikane mifumo halisi ya uchaguzi, utajua mlijidanganya kwa muda mrefu.
Njooni itakua massacre kubwa kuwahi kutokea duniani.
 
Muwe mnaweka na address za hawa washenzi ili tunapokuwa na shughuli zetu tuwapitie kidogo
 
Njooni itakua massacre kubwa kuwahi kutokea duniani.
Ndio tunayataka hayo maana mabadiliko ya kweli yatatikea hapo. Safari hii kitendo cha kutumia silaha za moto kwa waliojiweka madarakani kwa mtutu wa bunduki itakuwa mwisho wao, na chama cha mapinduzi kitakufa rasmi. Ukitaka kuamini hayo, niambkmie ni wapi umeona watu wakivaa sare za ccm baada ya ile warmup ya juzi?
 
Mbona watu wanavaa we uko Congo nini hata mimi navaa sana
 
Anaalika hata watu wasiofahamika
 
Anasema wakishapitia kwenye mchujo kisha hupendekezwa majina manne kisha kupeleka kwa Rais ili akateue jina moja ,sindiyo?

Swali, Huyo Rais sindiye nane atakaekua kuwa mgombea ? Na huyo Mwenyekiti au wajunbe wa tume sindiyo hao watakaokuja kuwa na mamlaka ya kumtangaza mshindi ambaye kwa mamlaka yao kikatiba wakishamtangaza mshindi hapaswi kupingwa popote .

Tuje nyuma kidogo , inamaana Dokta ameshindwa kabisa kuona kuwa kitendo cha Rais kuwa na mamlaka ya kufanya uteuzi wa mtu / watu watakaobeba hatima yake nikitendo chenye mgongano wakimaslahi?

Hivi nikweli watu wanakubali kuzibaka taaluma zao kwasababu ya mkate ,

Guys seriously? 🤣🤣
 
Huyu fala nani asiyemjua? huyu naye ni wale wachumia tumbo wanaotegemea teuzi. Huyu takataka sijui ilikuwaje akapewa udokta......Vitabu vyake ni vya ovyo hakuna anayeweza kununua na kuvisoma. Ni mpumbavu.
Alikuwa anachumia Chadema. Alipoona wapo kizalendo zaidi akakimbilia kwa wanaotanguliza maslahi ya matumbo mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…