Nalaani walichokifanya bodaboda,ila hao bodaboda wanajifunza.........Polisi wetu wamekua wauaji wa raia mara kadhaa,na hatua zinazochukuliwa dhidi yao ni kama "0" tu.....Nao bodaboda wanapita mulemule.Lakini pia mchakato ungeenda mahakamani ungekua mrefu sana,jamani mahakama zetu si mnazijua?Mwisho wa siku hata kauli za viongozi zinachangia.Mnakumbuka kauli hizi.
1."Anayeua albino nae auawe"
2."Polisi waue tu majambazi"
3."Wapigwe tu,tushachoka"
Tusizichukulie powa hizi kauli,,,zinahamasisha sheria mkononi