Yalikuwa makaburi mengi pale ualipohamisho hilo yu ndio lilishindikana kuhama ndipo serikali ikaamua libakie tu hapo nila madhara
tatizo hamfunguki vizuri,sijui mnaogopa nini?Wacha uongo, hamkukuwahi kuwa na kaburi pale, bali ni mkakati wa watu fulani kulia timing sehemu hiyo kwa ajili ya kujenga nyumba za ibada na biashara. Kaburi hilo lilijengwa miaka ya mwishoni mwa 1990 / mwanzoni mwa miaka ya 2000. Mwanzoni lilivunjwa lakini watu hao wakaja kulijenga tena wakiwa na malengo ya muda mrefu ya kulitwaa eneo husika kwa manufaa yao.
...kumbe kuna wengine walishaga uliza kama wewe!Naomba kujuzwa, huwa naona kitu kama kaburi ndani ya bustani iliyo pembezoni mwa Samora Avenue karibu na JMall/Harbour View, hilo kaburi linatunzwa vizuri sana. Kama ni kaburi kweli, je ni kaburi la nani?
Seriously unagongw.aJina lake aliitwa "mzee daresalama"kipi hujaelewa?tatizo lenu nyie wakuja.hamju historia ya hapa.hata kaburi la mzee mwenge hamjui liko wapi.hata marehemu mzee shekilango hamumjui.ahh rudini kwenu bara huko
Wacha uongo, hamkukuwahi kuwa na kaburi pale, bali ni mkakati wa watu fulani kulia timing sehemu hiyo kwa ajili ya kujenga nyumba za ibada na biashara. Kaburi hilo lilijengwa miaka ya mwishoni mwa 1990 / mwanzoni mwa miaka ya 2000. Mwanzoni lilivunjwa lakini watu hao wakaja kulijenga tena wakiwa na malengo ya muda mrefu ya kulitwaa eneo husika kwa manufaa yao.
mkuu greda linavunjika? au lilikuwa bovu?
Kiswahili nilipata A form IV
Una uhakika na hili Mkuu?!!!
Wacha uongo, hamkukuwahi kuwa na kaburi pale, bali ni mkakati wa watu fulani kulia timing sehemu hiyo kwa ajili ya kujenga nyumba za ibada na biashara. Kaburi hilo lilijengwa miaka ya mwishoni mwa 1990 / mwanzoni mwa miaka ya 2000. Mwanzoni lilivunjwa lakini watu hao wakaja kulijenga tena wakiwa na malengo ya muda mrefu ya kulitwaa eneo husika kwa manufaa yao.
Seriously unagongw.a
Tutafute siku mkuu tupitie kiti moto ya kutosha tukalie juu ya kaburi! Majini Makatta, Maimuna yote yatakimbilia uarabuni
hili kaburi lipo opposite na NBC Samora na sio NMB kama alivyopost. Ukweli kidogo uliopo ni kuwa liliibuka wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi lakini (sina uhakika) kulikuwa hakuna kitu na baadhi ya marafiki (nadhani waislamu) wakaibuka na kusema aliwahi kuzikwa Ustaadh mmoja siku za nyuma. Watu waliamka asubuhi wakakuta limejengewa na baada ya ubishi kidogo yakaingizwa mambo ya udini, nadhani Mzee Kitwana Kondo ndiye alikuwa Mayor. Katika mivutano zaidi ndiyo wakaliwekea kabisa tiles.
Lakini fikiria tangia dunia iumbwe, kweli ni rahisi kujua ni sehemu gani watu wote waliowahi kuishi walizikwa wapi ili kupajengea makaburi!? Kwa vile aliyezikwa pale hajulikani bali kuna hizo assumptions, ni bora tu kungebakishwa bustani maana nazo zinatukuza waliokufa lakini lile kaburi 'linastua'
Ndiyo hivyo mkuu!, Ukitaka vita basi wewe liguse uone moto wakeDuh! kama haya ni ya kweli basi kweli dunia ni nouma, yaani mtu anatumia/gharimia kaburi vile kumbe lengo ni baadaye kusema eneo ni letu babu zetu wamezikwa hapo! Sijui kama ndio hivyo nilivyokuelewa
Jina lake aliitwa "mzee daresalama"kipi hujaelewa?tatizo lenu nyie wakuja.hamju historia ya hapa.hata kaburi la mzee mwenge hamjui liko wapi.hata marehemu mzee shekilango hamumjui.ahh rudini kwenu bara huko
Hizi habari zubachanganya
lakini yule aliyesema twende Google kweli anakanyagwa
bora kbm umetufungua kwa https://www.jamiiforums.com/habari-...-la-dar-ni-la-nani-na-kwa-nini-lipo-hapa.html
Sasa Mheshimiwa Mnyaa huamini uwezo wa Mungu au ndio muumini jina
wanipe mimi tenda ya kuhamisha.natafuta vijana tuna gonga mnyama pale pale kisha tunaingia mzigoni "Nothing imposible under the sun "bana
All in all Kiongozi,kuna mtu alikuwa mbunge wa Dodoma na baadae akawa diwani wa kata ya Mchafukoge.Jina lake limenitoka..lakini ...Sagaff,kitu kama Sagaff,wakati wa kuvunjwa makaburi yaliyokuwepo eneo lile,yeye alikuwa mstari wa mbele katika urudishaji wa kaburi husika.Nadhani lilikuwa ni la mmoja wa wana familia yao.Nitajaribu kupata details za ziada.lilishindikana kuhamishwa kivip mkuu?em funguka hapo kwa sisi tusio kuwa na uelewa kuhusu hilo tukajifunza kutoka kwako.