amos eglan
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 310
- 464
Huu muziki umekuja kwa kasi sana na kujizolea umaarufu Mkubwa kwenye media na baadhi ya wadau haswa vijana lakini huu mziki naliona kaburi lake 2018 kwa sababu zifuatazo
1. Wadau wakubwa wa muziki huu e FM ambao ndo waliubebea bango wameanza kuupa kisogo air time imepungua kabisaaa
2. Wasanii wengi wa singeli walioupaisha wamekosa management za uhakika na kuwafanya wakitaabika tu mitaani mfano. Man fongo , sholo mwamba
3. Wasanii wa muziki huu hawakai zizi moja hawapendani hawana maarifa na hawajui hata jinsi ya kuuinua muziki huu wakienda kwenye media wana kazi ya kupondana tu hakuna lingine
4. Muziki wa singeli umeanza kupoteza washabiki ambao walikuwa wamevutiwa na baadhi ya vibao vyao
1. Wadau wakubwa wa muziki huu e FM ambao ndo waliubebea bango wameanza kuupa kisogo air time imepungua kabisaaa
2. Wasanii wengi wa singeli walioupaisha wamekosa management za uhakika na kuwafanya wakitaabika tu mitaani mfano. Man fongo , sholo mwamba
3. Wasanii wa muziki huu hawakai zizi moja hawapendani hawana maarifa na hawajui hata jinsi ya kuuinua muziki huu wakienda kwenye media wana kazi ya kupondana tu hakuna lingine
4. Muziki wa singeli umeanza kupoteza washabiki ambao walikuwa wamevutiwa na baadhi ya vibao vyao