Kabla ya ndoa mambo huwa hivi

pe.livinuu

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
502
Reaction score
114
MME: Ooh! Natamani sana iwe hivyo.
MKE: Vipi, wataka niondoke?
MME: Hapana hata kidogo!
MKE: Unanipenda?
MME: Ndo maanake.
MKE: Utakuwa na mpenzi mwingine zaidi yangu?
MME: Siwezi huo upuuzi.
MKE: Utanibusu milele?
MME: Kila mara.
MKE: Je, utanipiga?
MME: Aaaa haiwezi tokea!
MKE: Naweza kukuamini?
MME: Naam.
MKE: Jamani mpenzi!

Sasa ukitaka kujua baada ya ndoa mambo huwaje??

Soma kuanzia chini kwenda juu.
 
Aisee kumbe ndivyo ilivyo? Nangumwanda.
Nalog off
 

Unatisha mkuu!
 
binadamu ana hulka ya kukinai so usipokuwa makini hata ndoa unaikinai
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…