Na wanaume wengi pia siku hizi wana low sperm count.. Na zingine dhaifu ni vizuri pia na hii wakapimaKingine Umesahau kizazii,
Maana wanawake Mimba wametoa mpaka na kizazi
1. HIV
2. Blood groups
3. Akili
Na wanaume wengi pia siku hizi wana low sperm count.. Na zingine dhaifu ni vizuri pia na hii wakapima
Daah inasikitisha sanaTofauti na wanawake. Low sperm count inatibika. Ila kizaz kikitoka kwa mwanamke there is no going back
Hilo lilikuwa miaka ya 80 na 90 huko.Muhimu kuliko zote hapo ni Akili,siku hizi tunaoana wendawazimu bila kujuaa!
Kama ni mwanaccm piga chini
Hawa ni wanafiki sana hata kwenye mhusiano
Hilo la akili ni muhimu aysee maana unaweza kuoa au kuolewa na taahira