Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Ndiyo.. Ccm hawana urafiki zaidi unafki.. Nakwambia kina Sitta, siku zao za uwaziri zinahesabika. Si uwaziri tu,hata uccm!. Kimsingi endapo kikwete ataridhia malipo ya matapeli Dowans(ofcourse kisha ridhia,vinginevyo kusingekuwa na pilikapilka za kujihalalisha) kimsingi sitta,mwakyembe wanapaswa wajiuzuru au awafukuze..kinyume chake, kikwete asiporidhia malipo itapbidi ngeleja, werema, na wengineo waliopaza sauti kusupport malipo,wajiuzuru au wapigwe chini..ambayo hii ni kiini macho..haiwezi tokea kwa serikali ya mkwere.. Point.. Kabla jogoo hajawika kina sitta watapigwa chini..