Kabla Hujataka Kuoa Zingatia Huu Ushauri

Kuhusu ukoo(nasaba) hapo ni sawa kuangalia, ila mambo ya mikosi nakaa pembeni katika hilo
 
Unaoa familia unaoa mwanamke?.. Alafu hakuna koo isiyo kuwa na shida zake bhana usijidanganye
 
Ungesema kabla haujaoa/kuolewa. Kwani wanawake hawahitaji kujua familia zenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…