MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,310
- 11,152
Tumesikia mara nyingi sana visa vya wanaume kuwaacha wanawake kwa dharau na vijembe vingi, halafu baada ya muda mfupi, anarudi huku anapiga magoti kuomba msamaha. Hili halipo kwa wanaume tu hata kwa wanawake lipo, lakini sitaongelea upande wa wenzetu,[Women and children can afford to be careless, but not men - Don Corleone]
Ni jambo la fadhaa sana kwa mwanaume kumwacha mwanamke kwa vijembe na matusi halafu wiki mbili baadae unarudi na kuanza kupiga magoti. Hata kama alikuwa anakuheshimu mwanzoni, heshima yake kwako lazima itashuka, badala ya wewe kuwa kichwa, utageuka kuwa mkia. Huna maamuzi, hujiamini na zaidi "huwezi kuishi bila yeye", definitely she will have the upper hand.
So ushauri mdogo tu, moja kama huna uhakika na uzito wa maamuzi unayoenda kufanya, kuhusu mahusiano ni bora usiyafanye na mbili as a man, uwe tayari kuzikabili changamoto za maamuzi yako, be ready to face consequences of your decisions, whether they are bad or good. Ukiamua kumwacha mwanamke usirudi nyuma, hata kama ulikosea.
Women and children can afford to be careless, but not men - Don Corleone
Ni jambo la fadhaa sana kwa mwanaume kumwacha mwanamke kwa vijembe na matusi halafu wiki mbili baadae unarudi na kuanza kupiga magoti. Hata kama alikuwa anakuheshimu mwanzoni, heshima yake kwako lazima itashuka, badala ya wewe kuwa kichwa, utageuka kuwa mkia. Huna maamuzi, hujiamini na zaidi "huwezi kuishi bila yeye", definitely she will have the upper hand.
So ushauri mdogo tu, moja kama huna uhakika na uzito wa maamuzi unayoenda kufanya, kuhusu mahusiano ni bora usiyafanye na mbili as a man, uwe tayari kuzikabili changamoto za maamuzi yako, be ready to face consequences of your decisions, whether they are bad or good. Ukiamua kumwacha mwanamke usirudi nyuma, hata kama ulikosea.
Women and children can afford to be careless, but not men - Don Corleone