Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,532
Wapo wengi waliopotezwa na kuuliwa kabisa ila wengi waliacha ujumbe wa kishujaa.
Hawa ni moja ya tuliowafahamu:
SOKA: āikitokea nimepotezwa, msilie pambaneni na msikubali usaliti.ā
MDUDE: āKama kuna tuhuma, wanipigie niende⦠kwa nini kunivizia?ā
BUYOBE: ānikipotea ghafla, kosa langu litakuwa kutumia haki yangu ya uhuru wa kujielezaā
POLEPOLE āMi siogopi hata nikipotezwa watakao baki watabaki na niloyafunua
Hawa ni moja ya tuliowafahamu:
SOKA: āikitokea nimepotezwa, msilie pambaneni na msikubali usaliti.ā
MDUDE: āKama kuna tuhuma, wanipigie niende⦠kwa nini kunivizia?ā
BUYOBE: ānikipotea ghafla, kosa langu litakuwa kutumia haki yangu ya uhuru wa kujielezaā
POLEPOLE āMi siogopi hata nikipotezwa watakao baki watabaki na niloyafunua