Kabla au baada ya Maridhiano ya Kitaifa kuwe na maombi ya Kitaifa

Poa 2

JF-Expert Member
Jul 7, 2019
1,294
1,288
Hodi jukwaani.

Nchi yetu imepitishwa katika Giza nene miaka 6 iliyopita, roho ya mauaji, mateso kutekana, kusingiziana mikesi ya hovyo, visasi, chuki na fitina ilitanda katika anga letu.

Mzaliwa wetu wa Kwanza wa awamu ya tano mwenda zake alipitisha roho ya mauti, maovu unafiki usio na kikomo na baadhi yetu walivamiwa na roho hii kiasi kwamba lilitaka kuwa Jambo la kawaida kufanya haya.

Sasa roho hii bado ipo mioyoni mwa wafuasi wake na inatenda kazi, mauaji ya kikatili yanaendelea japo si ya kisiasa, kukamatana hovyo bado kunaendelezwa na jeshi letu la polisi, kutukanana bado kunaendelea mitandaoni.

Kama tunakubali kuridhiana na kuanza upya basi Kuna haja ya kuwa na maombi ya kitaifa ili watu kujutia, kutubu na kutokomeza hii roho ya uasi iliyoanza kustawi nchini kwetu.

Sasa swali ni tufanye maombi haya kabla au baada ya maridhiano?

Mama Samia hatua unazochukua ni sahihi endelea kuupiga mwingi kuelekea upande huo kaza buti usiyumbe Wala kuyumbishwa watanzania tuko nyuma yako utashinda, utashinda na utashinda

Nawasilisha hoja
 
Hodi jukwaani.

Nchi yetu imepitishwa katika Giza nene miaka 6 iliyopita, roho ya mauaji, mateso kutekana, kusingiziana mikesi ya hovyo, visasi, chuki na fitina ilitanda katika anga letu.

Mzaliwa wetu wa Kwanza wa awamu ya tano mwenda zake alipitisha roho ya mauti, maovu unafiki usio na kikomo na baadhi yetu walivamiwa na roho hii kiasi kwamba lilitaka kuwa Jambo la kawaida kufanya haya.

Sasa roho hii bado ipo mioyoni mwa wafuasi wake na inatenda kazi, mauaji ya kikatili yanaendelea japo si ya kisiasa, kukamatana hovyo bado kunaendelezwa na jeshi letu la polisi, kutukanana bado kunaendelea mitandaoni.

Kama tunakubali kuridhiana na kuanza upya basi Kuna haja ya kuwa na maombi ya kitaifa ili watu kujutia, kutubu na kutokomeza hii roho ya uasi iliyoanza kustawi nchini kwetu.

Sasa swali ni tufanye maombi haya kabla au baada ya maridhiano?

Mama Samia hatua unazochukua ni sahihi endelea kuupiga mwingi kuelekea upande huo kaza buti usiyumbe Wala kuyumbishwa watanzania tuko nyuma yako utashinda, utashinda na utashinda

Nawasilisha hoja
Inasikitisha sana
 
Kama tunakubali kuridhiana na kuanza upya basi Kuna haja ya kuwa na maombi ya kitaifa ili watu kujutia, kutubu na kutokomeza hii roho ya uasi iliyoanza kustawi nchini kwetu.
Naunga mkono hoja
 
Rasterman,

..itabidi tuwe makini na Mashekhe, Wachungaji, na Mapadre, watakaofanya hayo maombi.

..baadhi yao walikuwa wanajikomba kwa dikteta uchwara huku wakijua kuwa anatesa wananchi.

..kuna viongozi wa dini wanapaswa kutuomba msamaha kutokana na tabia na mienendo yao wakati wa awamu ya 5.
 
Rasterman,

..itabidi tuwe makini na Mashekhe, Wachungaji, na Mapadre, watakaofanya hayo maombi.

..baadhi yao walikuwa wanajikomba kwa dikteta uchwara huku wakijua kuwa anatesa wananchi.

..kuna viongozi wa dini wanapaswa kutuomba msamaha kutokana na tabia na mienendo yao wakati wa awamu ya 5.
Kabisa kabisa
 
Rasterman,

..itabidi tuwe makini na Mashekhe, Wachungaji, na Mapadre, watakaofanya hayo maombi.

..baadhi yao walikuwa wanajikomba kwa dikteta uchwara huku wakijua kuwa anatesa wananchi.

..kuna viongozi wa dini wanapaswa kutuomba msamaha kutokana na tabia na mienendo yao wakati wa awamu ya 5.
Ni muhimu sana kuwa makini nao.
 
Rasterman,

..itabidi tuwe makini na Mashekhe, Wachungaji, na Mapadre, watakaofanya hayo maombi.

..baadhi yao walikuwa wanajikomba kwa dikteta uchwara huku wakijua kuwa anatesa wananchi.

..kuna viongozi wa dini wanapaswa kutuomba msamaha kutokana na tabia na mienendo yao wakati wa awamu ya 5.
Ni kweli baadhi wa viongozi wa dini no waoga na wanafiki walinyaza kimya wakati waumini wao wakiyeswa na wengine kutesa watu aibu sana
 
Back
Top Bottom