JWTZ wazindua 'Operesheni Tokomeza'

JWTZ wazindua 'Operesheni Tokomeza'

Mwitongo

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2009
Posts
312
Reaction score
362
Jeshi la Wananchi wa Tanzania limezindua Operesheni Tokomeza inayolenga kuwamaliza majangili katika mapori ya akiba, mapori tengefu na hifadhi za taifa. Katika Operesheni hiyo, tayari Mwenyekiti wa CCM Kata ya Makuyuni, Monduli mkoani Arusha, Bakari Salim (Mpemba) amekamatwa akiwa na kilo 40 za pembe za ndovu.

Chanzo: Gazeti Jamhuri la leo
 
Kukamatwa Tu Haitoshi Hata Kina Masogange Walikamatwa...!!Mtandao Wa Kinana Huo..!!
 
Huwa siamini stori za magamba ila let us wait and see
 
Ccm na viongozi wao %100 ndiyo wahusika wakuu...
 
Ndo wakaanza 'kutokomeza wananchi' badala ya Majangili?
Mkuu hakuna operations za jeshi lililowahi kuwa ya hovyo, ukweli ni kuwa PM alihusika moja kwa moja kwani TOR walizopewa wapiganaji wetu ilibadilishwa! Niliwahi kushiriki operation ya kuwaondoa wasomali kule Loliondo baada ya Jeshi la police FFU kuzidiwa nguvu, sisi hatukutaka kushirikiana na police, mbinu na mikakati yetu ilifanikiwa sana tena kwa muda mfupi! Operations zinazoshirikisha zaidi ya chombo kimoja cha ulinzi na usalama huwa inamatatizo mengi sana ikiwemo uvujaji wa siri na hujuma...
 
Mabadiliko ya baraza la mawaziri yanasababishwa na uzembe na udhaifu wa mkuu wa nchi. Serikali yake ndiyo iliyozindua "Operesheni Tokomeza Ujangili" na ndiyo iliyoagiza vyombo vyote vya ulinzi na usalama nchini vitekeleze oparesheni hiyo.


Source:Mawio Toleo na:0075

My Take:
Jk AACHIE NGAZI KAMA EL
 
hawa mawio hawaa.....
Ewe muhariri mawio nakuombea tu uzima.
 
Back
Top Bottom