Tarajio Aprili, lakini anza ufatiliaji kwa mshauri wa mgambo wilaya; kuanzia Februali !
JIHADHARI NA MATAPELI WA AJIRA.
We Profeshen halafu unataka ajira JW?Sijakuelewa,si ujiajiri kwa kufanya kazi za profesheno yako!
mkuu iv unafkir kila mtu anakipaj cha kujiajir! na je wote tukijiajir si itakua shda tena! watanzania toka enz mababu tushazoea spoonfeeding, kwenye kilimo rainfed, entrepreneur tunayojifunza ni kwa ajil ya kupata gpa 4.9 and not otherwise
una uhakika na izo taarifa zako au unakisia
muda utajibu;ila
usitoe rushwa kuingia jwtz
Solution...gt?
mkuu iv unafkir kila mtu anakipaj cha kujiajir! na je wote tukijiajir si itakua shda tena! watanzania toka enz mababu tushazoea spoonfeeding, kwenye kilimo rainfed, entrepreneur tunayojifunza ni kwa ajil ya kupata gpa 4.9 and not otherwise