JWTZ latangaza nafasi

JWTZ latangaza nafasi

una bahati mod kalala mana huu uzi umekaa kimultiple choice while JF unatakiwa ku analyze
 
watu wapo msata huko wanapga depo

mkuu unajua tayari umefanya kosa la jinai? kwa nini usikamatwe ili iwe fundisho kwa wengine? au mnafikiri watu JW hawafiki mitandaoni? mbona polisi mnawaheshimu hamuwezi kutoa taarifa yoyote ya uzushi dhidi yao au kwa kuwa sometimes wanawasaka wahalifu humu humu mitandaoni?

Jirekebishe kabla hujarekebishwa
 
Utoto Kama Huu Peleka Kwenye Magroup Yenu Ya Whatsapp.
 
Mkuu embu kuwa na nidhamu kwenye mambo ya siriazi embu kuwa siriazi ayo mambo unayofanya ni mambo ya watoto wa seccondari uko fb isitoshe awa jamaa wakikutafuta watakufanya vibaya sana.
 
hivi wewe kwa nini ulitoroka milembe mi naona ulikuwa bado kupona ona sasa unachofanya
 
Mkuu embu kuwa na nidhamu kwenye mambo ya siriazi embu kuwa siriazi ayo mambo unayofanya ni mambo ya watoto wa seccondari uko fb isitoshe awa jamaa wakikutafuta watakufanya vibaya sana.

Kwanza kyendelea kumuuta jina la Mkuu unakosea sana hana hadhi ya kuitwa jina la mkuu huyu
 
mkuu unajua tayari umefanya kosa la jinai? kwa nini usikamatwe ili iwe fundisho kwa wengine? au mnafikiri watu JW hawafiki mitandaoni? mbona polisi mnawaheshimu hamuwezi kutoa taarifa yoyote ya uzushi dhidi yao au kwa kuwa sometimes wanawasaka wahalifu humu humu mitandaoni?

Jirekebishe kabla hujarekebishwa

Ejay Kuendelea kumwita huyu jina la Mkuu unakosea sana mkuu gani hajitambui jaman
 
Mbona mnamshambulia sana jamani!!muelekezeni jinsi ya kupost habari kwani nayo inahitaji elimu tena sana

Mwenzenu alisikia tu Jamii forum ndo amekuja anataka freedom of speak
 
Back
Top Bottom