Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
LIGI KUU ITALIA: Klabu ya Juventus yatwaa ubingwa wa ligi hiyo baada ya kuinyuka Klabu ya Fiorentina kwa mabao 2-1 na kufikisha alama 87
Magoli ya Juventus yamefungwa na Alex Sandro na Pezzella aliyejifunga na goli la kufutia machozi upande wa Fiorentina limefungwa na Nikola Milenkovic
Huu ni ubingwa wa 8 mfululizo kwa Juventus