Hata siyo deep defending aisee wamepwaya kweli this time hata ukuta wenyewe uko wazi sana wanafanya mistake za kizembe tu,mpira dakika 90 wasahihishe tu makosa yao watafanya mambo.
Hata siyo deep defending aisee wamepwaya kweli this time hata ukuta wenyewe uko wazi sana wanafanya mistake za kizembe tu,mpira dakika 90 wasahihishe tu makosa yao watafanya mambo.
Kipindi cha kwanza ndicho walicheza vizuri,yaani hii second half kama wamerogwa aiseee!! Sioni njaa ya goli hata pale kwenyewe kwenye goli lao sijui wanafanya nini daah!! Labda hawa walioingia tuone kama watafanya kitu.