Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
Kweli ccm imejichokea, wanakua proud kabisa kutangaza kuwa jambazi anagombea ubunge! Sasa umewapa ushauri mzuri Nnyari agombee ubunge, na halafu Banjoo na Jumanne udiwani! Pata picha Arusha itakuwaje
Muongeze na Eugen! walikuwa kampani moja hao.