Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Zipo tetesi kwamba kelele anazopiga juu ya maslahi ya zanzibar na wazanzibar ni mkakati waliouweka yeye na maalim seif kujigengea umaarufu ili jamaa atakapotoka amuachie ukatibu mkuu. Endapo hili litatokea basi hakuna budi kuamini kwamba kaf ni chama cha masultan