brasy coco
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 1,489
- 900
Fikiria kwa ubongo, hiyo notice ulishawapa wachina?
Wazanzibar hata kama muungano ukivunjia leo, nyumba watawapa watoto wao ambao kiheria ni watanganyika.
Kwa hiyo wazee watarudi Zenji au wataomba permit kama wageni wengine na nyumba zao zitakuwa za watoto wao.
Kama ulikuwa unangojea dezo, yaguju.
ZNZ kwanza upuuzi baadae.
Hiyo ni ndoto ya mchana. Kama wachina wanauza hadi mkaa na wengine ni madobi hawajafukuzwa sembuse wapemba?
Hakika CUF ni kama 'mke' mkorofi wa CCM. . Dr Shein ni mtu muungwana sana. We need a tougher guy to rescue muungano lest the nation split apart. Wapemba wa kariakoo watapata shida sana sababu ya uhuni wa Jussa na Seif, zee liso haya... Kwa kuwa tumeishi vizuri na kwa salama wazenjibara waliowekeza au kubangaiza kashata na gahawa bongo, waanze kujiandikisha uraia wa Tanganyika na 'wazanzibara warudi nyumbani ardhi tele. Kwa heri Dr Bilal, Suluhu, Mahadhi, Mwinyi, Nahodha hakuna vyeo vya bure nendeni kugombea usheha unguja au pemba! Maneno na nahau nyiingi kazi hakuna!
Aisee ! Au ndiyo maana BUGURUNI KWA MNYAMANI imekuwa chimbuko la Kipindupindu kwa Dsm ?
baada ya wapemba kuondoka, kumbuka kuwa grosari zote za hapa dar zitafungwa kwa sababu wazaramo, wakwere na wandengereko wataitaka dar yao. wachagga, wanyakyusa, wahaya, wagogo, waskuma itabidi warudi kwao. anae mbagua mpemba ajue kuwa analipua bomu kubwa sana. udini utashamiri. waislamu wataomba ukanda wao wa pwani zikiwemo bandari zote. tuachane na habari za kuwaongelea wapemba. walio wengi hapa dar ni wakuja. itabidi na sisi turudi mikoani kwetu. nakumbusha kuwa dar au pwani ilikua inakaliwa na waarabu, wahindi na waswahili. tuache chuki za majitakaArdhi si suala la muungano kwa sababu wa zanzibar wametaka mafuta na gas yasiwe mambo ya muungano...
WAZANZIBAR WENGI WANATAMBUA KWAMBA DAR ES SALAAM NI LONDONI KWAO.. Hivyo wajipange kuanza maisha mapya huko znz
Uraia Wakaombe Qatar na si Tanganyika Hakuna Mpemba kupewa Uraia Na Sisi Tulio Kwao Tunarudi washenzi wabaguzi sana hao sasa wabaguane wenyewe na kutupiana mijini maana ndo kazi yao
Bila ardhi sijui itakuwa nchi vipi?Na muungano utakuwa upi?Unless hawa jamaa wanatumia fikra zao za kuoana na majinn..viumbe wasio na mwili.Ardhi si suala la muungano kwa sababu wa zanzibar wametaka mafuta na gas yasiwe mambo ya muungano...
WAZANZIBAR WENGI WANATAMBUA KWAMBA DAR ES SALAAM NI LONDONI KWAO.. Hivyo wajipange kuanza maisha mapya huko znz
Kumbuka hili litakuwa bifu kwani wenyewe kwa ujinga wao wameuvunja muungano kwa kumfata Jussa na Seif.
Hawa watafukuzwa na wananchi wenyewe sio wala serikali ya Tanganyika.
Tutawapa kipigo cha mbwa mwizi warudi kwao wakavue na kuendeleza kilimo cha miogo na magimbi.
baada ya wapemba kuondoka, kumbuka kuwa grosari zote za hapa dar zitafungwa kwa sababu wazaramo, wakwere na wandengereko wataitaka dar yao. wachagga, wanyakyusa, wahaya, wagogo, waskuma itabidi warudi kwao. anae mbagua mpemba ajue kuwa analipua bomu kubwa sana. udini utashamiri. waislamu wataomba ukanda wao wa pwani zikiwemo bandari zote. tuachane na habari za kuwaongelea wapemba. walio wengi hapa dar ni wakuja. itabidi na sisi turudi mikoani kwetu. nakumbusha kuwa dar au pwani ilikua inakaliwa na waarabu, wahindi na waswahili. tuache chuki za majitaka
Mbona huu uzi siuelewi elewi wakuu?
Hakika CUF ni kama 'mke' mkorofi wa CCM. . Dr Shein ni mtu muungwana sana. We need a tougher guy to rescue muungano lest the nation split apart. Wapemba wa kariakoo watapata shida sana sababu ya uhuni wa Jussa na Seif, zee liso haya... Kwa kuwa tumeishi vizuri na kwa salama wazenjibara waliowekeza au kubangaiza kashata na gahawa bongo, waanze kujiandikisha uraia wa Tanganyika na 'wazanzibara warudi nyumbani ardhi tele. Kwa heri Dr Bilal, Suluhu, Mahadhi, Mwinyi, Nahodha hakuna vyeo vya bure nendeni kugombea usheha unguja au pemba! Maneno na nahau nyiingi kazi hakuna!
Lazima wale mdudu Tu kudadekiiii
Hakika CUF ni kama 'mke' mkorofi wa CCM. . Dr Shein ni mtu muungwana sana. We need a tougher guy to rescue muungano lest the nation split apart. Wapemba wa kariakoo watapata shida sana sababu ya uhuni wa Jussa na Seif, zee liso haya... Kwa kuwa tumeishi vizuri na kwa salama wazenjibara waliowekeza au kubangaiza kashata na gahawa bongo, waanze kujiandikisha uraia wa Tanganyika na 'wazanzibara warudi nyumbani ardhi tele. Kwa heri Dr Bilal, Suluhu, Mahadhi, Mwinyi, Nahodha hakuna vyeo vya bure nendeni kugombea usheha unguja au pemba! Maneno na nahau nyiingi kazi hakuna!