Jumuiya ya kimataifa inajua opposition leader Kwa Tanzania ni Tundu Lissu pekee

Jumuiya ya kimataifa inajua opposition leader Kwa Tanzania ni Tundu Lissu pekee

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,593
Hii imenishangaza Kila nkiangalia habari kuhusu siasa za Tanzania, kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kiongozi wa upinzani Tanzania wanamtaja Tundu Lissu pekee.

Hii ni tofauti kabisa na huku kwetu ambapo kuna viongozi wengi sana wa -vyama kama Kina Mzee Rungwe,Lipumba,Chief Ryemba.

Je ni sahihi kuwa opposition leader Kwa Tanzania ni Tundu Lissu pekee?
 
Hii imenishangaza Kila nkiangalia habari kuhusu siasa za Tanzania, kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kiongozi wa upinzani Tanzania wanamtaja Tundu Lissu pekee.

Hii ni tofauti kabisa na huku kwetu ambapo kuna viongozi wengi sana wa -vyama kama Kina Mzee Rungwe,Lipumba,Chief Ryemba.

Je ni sahihi kuwa opposition leader Kwa Tanzania ni Tundu Lissu pekee?
Kutoka moyoni mwako jipe jibu la swali lako. Pia nikuulize, umewasikia viongozi na wanachama wa vyama vyote vya upinzani katika mikutano yao, cha kwanza wote wanachofanya ni kukosoa na kupinga CHADEMA, je hiyo ina maana gani?
 
Hii imenishangaza Kila nkiangalia habari kuhusu siasa za Tanzania, kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kiongozi wa upinzani Tanzania wanamtaja Tundu Lissu pekee.

Hii ni tofauti kabisa na huku kwetu ambapo kuna viongozi wengi sana wa -vyama kama Kina Mzee Rungwe,Lipumba,Chief Ryemba.

Je ni sahihi kuwa opposition leader Kwa Tanzania ni Tundu Lissu pekee?
Uwe na uwezo mkubwa wa kufikiri, Lisu akiwa uhamishoni. Alitumia vizuri huo muda!! Nyinyi mlitaka kumua akakimbia, akatumia muda wake wa ukimbizi kijitangaza.
Akiwa ukimbizini. aliwahi kuongeza na vyombo vikuu vya habari, kama Al Jazeera Dw nk. Sasa Rungwe au Lipumba hao sio level ya Tundu Lisu.
 
Uwe na uwezo mkubwa wa kufikiri, Lisu akiwa uhamishoni. Alitumia vizuri huo muda!! Nyinyi mlitaka kumua akakimbia, akatumia muda wake wa ukimbizi kijitangaza.
Akiwa ukimbizini. aliwahi kuongeza na vyombo vikuu vya habari, kama Al Jazeera Dw nk. Sasa Rungwe au Lipumba hao sio level ya Tundu Lisu.
Lissu EU yoote Ina mjua
 
Hii imenishangaza Kila nkiangalia habari kuhusu siasa za Tanzania, kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kiongozi wa upinzani Tanzania wanamtaja Tundu Lissu pekee.

Hii ni tofauti kabisa na huku kwetu ambapo kuna viongozi wengi sana wa -vyama kama Kina Mzee Rungwe,Lipumba,Chief Ryemba.

Je ni sahihi kuwa opposition leader Kwa Tanzania ni Tundu Lissu pekee?

CCM na CHADEMA ni kama Simba na Yanga. Uwe ACT. CHSUMA. CUF etc. moyoni utakuwa ni Chadema au CCM.
 
Tundu Lissu hata Maccm yanamkubali ...


Ni mtu aliyejitoa sadaka kwa nchi yake...

Hakuna anayeweza kuwa kama lisu hayupo..

Alikuwa ana uwezo wa kukaa kimya na maisha yake yakaenda vizuri tu.

Apewe maua yake .
Unaambiwa mwaka huu Lissu angetaka kuwa billionaire angekuwa maana Samia alikuwa tayari kumuonga dau lolote
 
Hii imenishangaza Kila nkiangalia habari kuhusu siasa za Tanzania, kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kiongozi wa upinzani Tanzania wanamtaja Tundu Lissu pekee.

Hii ni tofauti kabisa na huku kwetu ambapo kuna viongozi wengi sana wa -vyama kama Kina Mzee Rungwe,Lipumba,Chief Ryemba.

Je ni sahihi kuwa opposition leader Kwa Tanzania ni Tundu Lissu pekee?
Tofauti na Lisu kuna mpinzani gani tena nchi hii
 
Uwe na uwezo mkubwa wa kufikiri, Lisu akiwa uhamishoni. Alitumia vizuri huo muda!! Nyinyi mlitaka kumua akakimbia, akatumia muda wake wa ukimbizi kijitangaza.
Akiwa ukimbizini. aliwahi kuongeza na vyombo vikuu vya habari, kama Al Jazeera Dw nk. Sasa Rungwe au Lipumba hao sio level ya Tundu Lisu.
Nilikuwa nikomenti haya expert wangu ila umeniwakilisha
 
Back
Top Bottom