Jumba la kisasa lipo sokoni Mbezi Beach

Jumba la kisasa lipo sokoni Mbezi Beach

Natanguliza 10m fasta kishika uchumba
Baada ya uchaguzi nitamalizia kilichobaki
Kama hamtojali.
 
Daaah hilo jumba walaah bei ya kutupa kabisa+location nabata ushungu wallaaah
 
Pesa anayouza ni ndogo kulingana na nyumba na location iliko, sina uhakika kama ataweza kujenga nyingine kwenye hilo eneo kwa hiyo pesa
Simple and Clear.... HAWEZI! Kwanza, kwa hilo eneo, thamani kiwanja cha kujenga nyumba kama hiyo peke yake unatoa mijumba huku mitaani kwetu! Naona watu wanafanya masihara... Dar es salaam suala la thamani za nyumba yaani ni ushetani mtupu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom