Jumba la gorofa linauzwa Bunju

Mkuu. Ukiwa tajiri kuna protocol zake.. Ukipenda kujiongele sana utaishia kuiboa jamii.. So inabidi ukizungumza unazungumza in 3rd person or in prural... Ukipenda kujiongelea kwa mf useme 'nimejenga ghorofa' haileti picha nzuri kwa audience...
.....hahahahahaha....'tajiri' wewe kwa kuhamisha magoli kiboko!
..ila nadhani umejifunza;usipende kuwa kiroporopo mtoto wa kiume!
.ndo mana tumepewa koromeo!
 
ina maana hii nyumba ina thaman kubwa kuliko lile ghorofa alilonunua diamond south Africa? madalali tuoneeni huruma

Mkuu nyumba ni finishing, wenzetu material nyingi sana zinatengenezwa kule kule, pia wana price regulatory Authority ambayo inafanya kazi vizuri, yaani wanaangalia bei anayopanga muuzaji then wanatafiti kama haimuumizi mnunuaji. Sasa bongo kila kitu wanapanga wao na material nyingi tunaagiza nje, pia hakuna bei ilekezi toka serikalini ya kuwa limit hawa macapitalist. Ndio maana nyumba bondeni inaonekeana bei ndogo na inatofautiana na bongo.

Anyways, sisapoti bei aliyoweka jamaa hapo juu maana imekosa uhalisia.
 

NYUMBA HAIPO TENA SOKONI
 


Hivi mbona huwa hamjumlishi gharama za maji kwenye ujenzi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…