GE2025 Jumanne Sagini achukua fomu ya kugombania Ubunge Butiama

GE2025 Jumanne Sagini achukua fomu ya kugombania Ubunge Butiama

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Mchakato wa uchukuaji fomu unaendelea

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Butiama Jumanne Abdallah Sagini amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge kwa awamu ya pili kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo amekabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Butiama Mary Kananda jana Juni 28, 2025.

1751177820477.png
 
Wakuu,

Mchakato wa uchukuaji fomu unaendelea

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Butiama Jumanne Abdallah Sagini amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge kwa awamu ya pili kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo amekabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Butiama Mary Kananda jana Juni 28, 2025.

View attachment 3387906
Mfumo umeshamkataa huyu. Huruma ni Dr Mahera Yule wa Tume 'Huru'
 
Back
Top Bottom