Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 761
- 6,985
Mzee Siro amekabia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Mlilo Jumanne atachukua nafasi ya Siro.
Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
Hao wote mlio wataja hapo vyeo vyao ni vidogo sana vya kuteuliwa kuwa IGP maana kuna vyeo viwili juu yao DCP na CP bila shaka kuna watu wenye vyeo hivyo tajwa hapo juu wanasifa za kuwa IGP. Ila yote kwa yote hongereni kwa kuwapigia debe washua wenu waje kuwa ma IGP.Uuuwiii ,,,,,Jamani tutakuwa tunamuundia majungu IGP Sirro
IGP aliepita kwa heshima Said Mwema aliongezewa muda na JK kama miaka minne mbele baada ya umri wa kisheria wa IGP Mwema kustaafu kufika
Na pia hata Mambosasa ni Afisa kamishna wa Polisi mchapakazi sana , ni ngumu kumpata mtu kama Mambosasa (uchapakazi ni tabia adimu sana kwa sisi binadamu wenye ngozi nyeusi) kwa hiyo naomba tusimuundie majungu nae
IGP Sirro kama akiongezewa muda kama alivyoongezewa Said Mwema basi atastaafu mwaka 2027
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Na yeye ni Mzee karibia ku staafuMzee Siro amekabia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Mlilo Jumanne atachukua nafasi ya Siro.
Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
Ernest Mangu alikuwa IGP from SACPHao wote mlio wataja hapo vyeo vyao ni vidogo sana vya kuteuliwa kuwa IGP maana kuna vyeo viwili juu yao DCP na CP bila shaka kuna watu wenye vyeo hivyo tajwa hapo juu wanasifa za kuwa IGP. Ila yote kwa yote hongereni kwa kuwapigia debe washua wenu waje kuwa ma IGP.
Mambosasa analea jambazi anafahamikaMzee Siro amekabia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Mlilo Jumanne atachukua nafasi ya Siro.
Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
Huyu ni mhalifu mwenye uniform za polisi tuTuondolewe kwanza Mambosasa hapa aje mtu mwenye ueledi
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Ocd mkuuMuroto Hana elimu Wala weledi wa kua IGP. Lakini Ni Bora Muroto awe IGP kuliko Mambosasa.
Mambosasa level yake Ni kua RPC Usweken huko Katavi.
Hata kwenye kile cheo Kuna mkono wa sangomaOcd mkuu
Hivi bado anampeti peti yule mtanzania aliyeshirikiana na wale watekaji wa MO Dewji au kesi ilishaisha?Mambosasa analea jambazi anafahamika
Hakunaga kesi hapo mkuu, huyu hata body language inaonyesha ni mhalifu tuHivi bado anampeti peti yule mtanzania aliyeshirikiana na wale watekaji wa MO Dewji au kesi ilishaisha?