amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 907
Naibu waziri wa habari, vijana, utamaduni na michezo Juma Ngamia alinusurika kupigwa na wananchi jimboni kwake akiwanadi wagombea wa uchaguzi serikali za mitaa uliofanyika juzi.
Source : Magic fm , habari kwa ufupi magazetini leo.
My take : Ni muda muafaka sasa kwa mbunge huyu kujirekebisha kauli zake maana imefikia pabaya hadi wapiga kura wake wanataka kumchapa! Hatari!
Source : Magic fm , habari kwa ufupi magazetini leo.
My take : Ni muda muafaka sasa kwa mbunge huyu kujirekebisha kauli zake maana imefikia pabaya hadi wapiga kura wake wanataka kumchapa! Hatari!