Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya CHADEMA, Julius Mwita, amewapongeza Tundu Lissu na John Heche kwa ujasiri wao, akisema ni viongozi wanaoweza kuleta hamasa kubwa wakati wa uchaguzi. Akizungumza kupitia Clouds FM, Mwita amesema;
"G- 55 haiwavurugi watu ila watu ndio wanajivuruga, sisi tunachokizungumza ni kile ambacho alikisema Katibu Mkuu, JJ Mnyika kwenye kikao cha Mkutano mkuu kwamba pamoja na azimio la kudai mabadiliko tujiandae na uchaguzi. Na G- 55 inachotaka ni chama kiende kwenye uchaguzi"
"G- 55 haiwavurugi watu ila watu ndio wanajivuruga, sisi tunachokizungumza ni kile ambacho alikisema Katibu Mkuu, JJ Mnyika kwenye kikao cha Mkutano mkuu kwamba pamoja na azimio la kudai mabadiliko tujiandae na uchaguzi. Na G- 55 inachotaka ni chama kiende kwenye uchaguzi"