Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 872
- 1,893
Heri Ungalikuwa Ujinga Pekee tungaliwapa Elimu ,Tatizo kuu ni UpumbavuKila kitu Africa kipo, lakini Ujinga ndio umetawala!
Heri Ungalikuwa Ujinga Pekee tungaliwapa Elimu ,Tatizo kuu ni UpumbavuKila kitu Africa kipo, lakini Ujinga ndio umetawala!
i Viongozi wengi Madikteta wanamioyo ya kizalendoMalema anafaa kuendelea kuwa mwanaharakati ila akishika dola watu watatamani afe, atageuka dikteta mmoja wa kutisha na atafanya mambo ya ajabu sana S.A ataiepeleka shimoni.
Ni mzuri akibaki kuwa mwanaharakati tu na siyo kiongozi mwenyhe mamlaka makubwa
Uhuru ni Lazima Upiganiwe kwa Nchi zote za AfricaSouth Africa inaludi nyuma, Kenya inasonga mbele!!. Marema anaakili bado za kupigania uhuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga domo tu huyoApambane achukue dola, asipoangalia ataishia kuwa mwanaharakati tu.
😀,kweli mkuu.
Isanga family ilifanya vituko sana mkwawa 2000 hadi 2002 walikuwa wanaiba nyama jikoni kila jtano na kutokomea makanyagio wengi wa hili kundi walitokea dodoma na walikuwa pcm. .pcb..pgm na cbg Pamoja na wizi wa nyama karibia wote walifauluMalema amekasirika toka Trump alipotweet kuwa Afrika kusini wanauawa wazungu na kunyang'anywa mashamba bila kulipwa Trump kamuelekeza Pompey aliangalie hilo swala la Afrika kusini vizuri na atoe taharifa hii imetokea wiki iliyopita mpaka serikali ya Lamaphosa imekutaka na uongozi wa USA hapo Pretoria ili kuweka mambo sawa wanachotegemea SA ni Nchi za Afrika ziungane kuipinga USA sasa hivi Nchi nyingi zinaangalia mambo yao ya ndani wao watatue tatizo lao la Ardhi bila kuingilia Nchi zingine...Malema fanya siasa ya ndani mtatue matatizo makubwa ya rushwa,crime na swala la ardhi...Uhuru asiende USA kisa mna ugomvi na USA akili za wapi hizo...
Tuko "Shithole Countries" kwa sababu ya kuwa na watu sampuli yako na ndio maana tutaendelea kutawaliwa tu "Ad Infinitum".Slave mwingine, afrika tuna maadui wazungu design ya akina trump na waafrika design yako, nyinyi ndio sumu ya hatari zaidi. Mtashughulikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora mkoloni mweupe kuliko mweusi mfano wa maccm.Slave mwingine, afrika tuna maadui wazungu design ya akina trump na waafrika design yako, nyinyi ndio sumu ya hatari zaidi. Mtashughulikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app