Jukwaa la Wahariri(TEF), lataka majeruhi ajali ya moto Morogoro washitakiwe

Hivi wahariri watanzania? Desperate times call for desperate action- risk one's life in pool of explosive fuel mwanangu aende chooni.
 
Wakati mwingine ndiyo maana,na ilaani elimu na kuwaonea huruma sana wazazi walisemomesha watoto ambao hawana faida katika jamii,waliokufa katika ajari umeambia kuna walioenda pale kwa ajili ya kusaidia wengine moto uliwafwata,wewe unapata wapi ujasiri wakusema washtakiwe,watanzania MNA nini, iko wapi nguvu ya elimu zenu,mmejifunza nini shuleni,rudini shuleni mkawadai walimu pesa zenu inavyoelekea wajawafunza chochote na hela imeenda
 
Balile anajipendekeza, bila shaka anatafuta uteuzi. Kwa umaskini wa watanzania uliopo ktk awamu hii alitegemea wananchi wafanye nn?

Ama kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa!
Eti umasikini Wa watanzania uliopo awamu hii,vipi awamu za nyuma hakujawahi kutokea matukio kama haya? Acha kujitoa akili kwa kuhalalisha uporaji,naunga mkono hoja hawa watu washitakiwe
 
Balile anajipendekeza, bila shaka anatafuta uteuzi. Kwa umaskini wa watanzania uliopo ktk awamu hii alitegemea wananchi wafanye nn?

Ama kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa!
Hawezi kupata uteuzi kwa kauri hiyo ya ajabu. Magufuli ameshasema " sio wote waliokwenda pale walienda kuiba wengine walienda kuokoa, wengine kushuhudia , wengine wanapita tu n.k
 
Ina maana jukwaa la Wahariri linaamini waliokuwa eneo la tukio wote walikuwa wanaiba Mafuta au moto ulichagua wezi tu?


Hawa ndio maana Makonda aliwageuza geuza alivyotaka kipindi kile
Wahariri gan wanakurupuka bila kufanya extensive study ya tukio badala yake wanatumia hisia za kienyeji kuhukumu waķiwa Dar?Hao ndo wanaojiita mhimili wa nne et,,,Nyambafu
 
Balile umenichekesha Sana eti tabia hii mbaya imeanza hivi karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…