Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
Ahahha sipendi sana juice izo nilinunua tu baada ya kukosa kinywaji cha barid kwa muda uhoUnataka kusema juice ya buku huwez maliza ama ni pambo la frij
Mwambie akutengenezee usiku
Kwa ajili ya daku au???Mwambie akutengenezee usiku
KWAAJILI YA MLO WA USIKU AKA CHAKULA CHA USIKU?Mwambie akutengenezee usiku
Na unapo futuruKwa ajili ya daku au???
Wewe umenielewa sana muhusika bado ๐KWAAJILI YA MLO WA USIKU AKA CHAKULA CHA USIKU?
Hii mm sijatia sukari kabisa wengine wanaweka ila mm siweki kwhy ata ukinywa ukinaiMnakabiliana vipi na sukari ilioko kwenye hio juice๐!? Maana binafsi tende moja tu sukari yake kwenye ulimi hufanya mwili wangu wote kusisimuka.
Niliwahi agiza juice ya tende katika mgahawa mmoja Mlimani City ilinishinda.
Ahahah sasaiv tende zipo nying sanaKwa tuliopo maeneo ambapo tende hazipo/ni adimu tutainywa kwa macho tu!
Au nidownload huu uzi niuchanganye na maziwa! ๐
Tende yenyewe si ina sukariHii mm sijatia sukari kabisa wengine wanaweka ila mm siweki kwhy ata ukinywa ukinai
Hapana bhna mnadanya watu kwa hofu ๐๐Kama upo peke yako hakikisha una kipande cha sabuni au kichupa cha mafuta ya mnara baada ya kunywa hiyo juice.
NdioTende yenyewe si ina sukari
Sasa hapo unatoboaje!?Ndio