GE2025 Juby Msuya ajitosa ubunge viti maalum UWT Dar es Salaam

GE2025 Juby Msuya ajitosa ubunge viti maalum UWT Dar es Salaam

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Bi. Juby Msuya mbaye ni Muandaaji wa Tuzo za Business Awards na Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), UWT, UVCCM na Umoja wa wazazi amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kupitishwa na Chama Cha Mapinduzi kuwa Mgombea wa Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam kupitia UWT.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Leo Juni 28, 2025 ndiyo siku ya kwanza ya ratiba iliyotolewa na CCM kwaajili ya watia nia wa nafasi mbalimbali zinazowaniwa kwenye uchaguzi Mkuu wa Oktoba Mwaka huu kuweza kuchukua fomu kwenye Ofisi za ngazi mbalimbali za Chama hicho tawala.

Screenshot 2025-06-28 224925.png
 
Back
Top Bottom