Ndo nan huyo?
kuweni wakweli, kwa umri ule Joyce anaweza kuanza form one kweli? kumbukeni ameishia darasa la saba hapo alipo. aanze form one hadi six, ndipo aje chuo si atakuwa kishazeeka jamani?? cha muhimu ni kumshauri afanye shughuli nyingine kama kuendeleza biashara zake na Kilewo na hii ya utangazaji awaachie wenye fani
hahahahahaah kwani sauda hajasoma...si kasoma kale kashule ka kiislam kule uwanja wa taifaJoyce akiwa shoga na sauda mwilima watapendezeana sana!
hahahahahaah kwani sauda hajasoma...si kasoma kale kashule ka kiislam kule uwanja wa taifa
Niliwahi kusikia kuwa Guninita bado anasoma O-Leve perfect vision secondary (i guess yuko form two au three)????!! Ikiwa ni kweli huyu kiria ana umri kumzidi Guninita?
Yaani nimefungua TV namkuta J Kiria anafanya mahojiano na watu wazima sijajua subject ila akaaza kumlaZimisha yule mzee mmoja ataje nguo za ndani ni zipi yule mzee kwa ustaarabu hakutaja, akampoint mwingine naye ktk kuchangia akasema si vizuri beki3 kufua nguo za ndani za mabosi, sasa hapa akamng'ang'ania azitaje na yule kwa maneno ya haiba akataja pichu....... Naona mbele kama wameedit maana ikaruka. Namshauri elimu sio form 1- 6 kama anavyofikiria alafu hajachelewa she is still young for her Carrier. Mlio karibu naye msaidieni
mkonowapaka na mim nakuunga mkono kwa kusema shataap!Mwacheni huyu dada..nguo za ndani zipo tofaut tofaut hasa kwa kina mama...wanaume tuna boxer,bukta;vest zote ni nguo za ndani,..kina mama ndo usiseme..chupi;bikini,shumizi;sidiria nk sasa cha ajabu apo nini,,,watanzania wengi bado ni wanafiki sana mambo ya kipuuzi mnashadadaia eti shule..hao walioelimika wakapewa wizara wamewafanyia nini zaidi ya kuwaibia kodi zenu...shatap!
Yaani nimefungua TV namkuta J Kiria anafanya mahojiano na watu wazima sijajua subject ila akaaza kumlaZimisha yule mzee mmoja ataje nguo za ndani ni zipi yule mzee kwa ustaarabu hakutaja, akampoint mwingine naye ktk kuchangia akasema si vizuri beki3 kufua nguo za ndani za mabosi, sasa hapa akamng'ang'ania azitaje na yule kwa maneno ya haiba akataja pichu....... Naona mbele kama wameedit maana ikaruka. Namshauri elimu sio form 1- 6 kama anavyofikiria alafu hajachelewa she is still young for her Carrier. Mlio karibu naye msaidieni
Kwan kuingia clac ndo kuwa mstarab. Mkulo kala hela zetu hamzungumz mnaona hayo tu,
Bongo bana! eti na huyu dada ana host kipindi kwenye national Tv! upstair hamna kitu kabisa! hana mtiririko wa maswali hana target! still eti anajifananisha na Oprah!!.. Oprah myAss!!