GE2025 Joshua Nassari achukua fomu ya ubunge jimbo la Arumeru Mashariki

GE2025 Joshua Nassari achukua fomu ya ubunge jimbo la Arumeru Mashariki

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
10,414
Reaction score
18,438
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Magu, Mkoa wa Mwanza, Joshua Nassari leo Jumatatu, Juni 30, 2025 akiwa na fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Nassari amewahi kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
 
Huyu ni yule aliyelala bila chupi tarehe 7 June 2014
SmartSelect_20250630_195910_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom