figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam,
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi, amshauri Rais wa Tanzania kurudi Ikulu kama Katiba inavyomtaka.
Ashangaa nchi kuanza na maombi na kumaliza na nyungu wakati MSD ikiidai Serikali Mabilioni ya fedha.
Ashangaa Tanzania yenye watu zaidi ya mil 50 wamekufa watu 16 huku Wabunge ambao ni 300 wamekufa wawili.
Msikilize
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/04/2385154_AUD-20200430-WA0285.m4a
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi, amshauri Rais wa Tanzania kurudi Ikulu kama Katiba inavyomtaka.
Ashangaa nchi kuanza na maombi na kumaliza na nyungu wakati MSD ikiidai Serikali Mabilioni ya fedha.
Ashangaa Tanzania yenye watu zaidi ya mil 50 wamekufa watu 16 huku Wabunge ambao ni 300 wamekufa wawili.
Msikilize
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/04/2385154_AUD-20200430-WA0285.m4a