Mi ningeona ni busara kuwa na kamati japo tuhoji hiyo studio iko wapi,ili iwanufaishe vijana wanaotaka kutoka kupitia muziki,sasa leo malipo ya kuandaa birth day ya JEI KEI tunayashuhudia,kwa dhuluma za studio na dhuluma kwa wanamziki alizofanya mteuliwa huyu,mimi binafsi sitolivaa vazi hili,nitavaa jinsi na magwanda tu.sitaki,big NO