Uteuzi mzuri sana huu Joseph amelifanyia mengi hili taifa kimuziki hope siku moja hili taifa ltampa heshima kubwa anayostaili. SALUTE JOE!
Du kuna watu wengine humu wanatia kichefuchefu! mpe heshima wewe na T.I.N.G.A.T.I.N.G.A
Uteuzi mzuri sana huu Joseph amelifanyia mengi hili taifa kimuziki hope siku moja hili taifa ltampa heshima kubwa anayostaili. SALUTE JOE!
ANASTAHILI, clouds walianza zamani sana kusapoti vazi la taifa
pamoja na upupu wa kisiasa wa clouds, jamaa pia wanastahili nishani ya kujitolea hasa kwenye maafa ... si mafuriko, mabomu nk
nimemnyonga mnyonge na haki yake nimempa
ANASTAHILI, clouds walianza zamani sana kusapoti vazi la taifa
pamoja na upupu wa kisiasa wa clouds, jamaa pia wanastahili nishani ya kujitolea hasa kwenye maafa ... si mafuriko, mabomu nk
nimemnyonga mnyonge na haki yake nimempa
Ufisadi mwingine at work. Watakuja na vazi la ajabu ajabu tu hawa kwa sababu ufisadi umeshawaathiri.
Kwa mtazamo wangu vazi la Taifa huwa linatokea tu,baada ya majaribio mengi yasiyo rasmi uku mtaani..yani ni kama vile sasa tupo kwenye mahabara tunachanganya kemikali mwisho wa siku tunalipata kutoka kwa watu sio kamati...mfano mzuri Nigeria.
Kuteua watu wachache tena wasiobobea kwenye hiyo tasnia ni kupeana ulaji tu kama wa studio na majengo ya wasanii vya JK.
Kwaio wakishalipata ndio kinafuata nini?
Tumbiri ndugu yangu hamna kitu kama hicho, tuwe na vitu vya msingi vya kusubiri kuliko kitu kama hicho eti vazi la taifa!
Hebu jipe tafakari utekelezaji wake utakuwaje??
Katika namna kiswahili tu kinaelekea kutushinda katika kuwa na msimamo wa kukisimami kama kweli "Lugha ya Taifa"
Ah hebu turudini kwenye mjadala wa KATIBA hawa mapoyoyo wasituyumbishe kwa mambo ya kijingajinga ha
Kwanini hawataki kuchukua kile kimao alichokuwa anavaa mwalimu[ kisichokuwa na COLLAR] kiwe ndio vazi la taifa kwa wanaume? Wanawake wavae vitenge na vilemba!! Tukifanya hivyo tutapunguza gharama na njia ya wakina Nchimbi kufisadi hela zetu!
hivi wanalipwa shi'ngapi kuwa kwenye hiyo kamati?