Asante kwa taarifa. Namkumbuka huyu ndugu, alikuwa mwalimu wa Wanafunzi waliookoka na wakati huo hakuwa Mchungaji wakati niko Azani Sec miaka ya mwishoni ya 80 na mwanzoni mwa 1990.
BWANA alitoa BWANA ametwaa, Jina lake lihimidie; Heri Wafu wafao katika BWANA, naam wapate kupumzika. Vita amevipiga, mwendo ameumaliza.