Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,632
Dah huyu jamaa anakula almost kila kiumbe kinachopita mbele yake, iwe chatu, paka, panya, kenge nk
Japo asilimia kubwa video nyingi anapost anakula kenge na panya.
Anakuja kwa kasi sana kwa sasa naona ameshaanza kupata wafuasi kadhaa, ule uoga na kinyaa cha watu kula panya umeanza kuondoka taratibu taratibu na kuona ni msosi wa kawaida.
Kula panya sio big issue sana maana hata wamakonde wanakula tangu enzi na enzi, ila ulaji wa kenge, paka, chatu aisee unashtusha sana.
Kenge wengi wanamuogopa kutokana na kusifika kuwa na sumu kali ila jamaa naona hajàli hilo yeye anatafuna tu kwa kwenda mbele.
Aangaliwe kwa makini huyu asije akatuletea magonjwa ya hovyo , hiyo kula kula yake itaponza jamii kama wale watu wa kongo wanavyoongoza kuwa na magonjwa mengi hatarishi kutokana na ulaji wao wa kila kiumbe kinachopita mbele yao.
Japo asilimia kubwa video nyingi anapost anakula kenge na panya.
Anakuja kwa kasi sana kwa sasa naona ameshaanza kupata wafuasi kadhaa, ule uoga na kinyaa cha watu kula panya umeanza kuondoka taratibu taratibu na kuona ni msosi wa kawaida.
Kula panya sio big issue sana maana hata wamakonde wanakula tangu enzi na enzi, ila ulaji wa kenge, paka, chatu aisee unashtusha sana.
Kenge wengi wanamuogopa kutokana na kusifika kuwa na sumu kali ila jamaa naona hajàli hilo yeye anatafuna tu kwa kwenda mbele.
Aangaliwe kwa makini huyu asije akatuletea magonjwa ya hovyo , hiyo kula kula yake itaponza jamii kama wale watu wa kongo wanavyoongoza kuwa na magonjwa mengi hatarishi kutokana na ulaji wao wa kila kiumbe kinachopita mbele yao.