DCI Comrade One
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 875
- 1,241
Tatizo la jongoo hapandi mtungi ndio maana wanamuogopa laiti angekuwa anapanda mtungi ungeona km ..,Jongoo ni mdudu mdogo sana ambaye anaogopwa na jopo kubwa kabisa la wanawake,
Hii inafika mbali zaidi mpaka unakuta wanawake wanatoka nduki huku wakisasambua nguo zao, wengine hujikuta wanaruka Kung-Fu Panda bila kutegemea huku wakituachia TV ya bureee eti kisa wamekaona kajijongoo kanapita karibu yao!
-
Kitu kilichonifanya mpaka nishangae unakuta wengi ukiwauliza wanadai eti huwa wanamuogopa jongoo sana tena kuliko nyoka,
Umeona balaa hilo? Yani eti nyoka mwenye sumu kwao ni bwege tu, lakini akiona jongoo atapiga yowe utadhani U.S.A ameona mabomu ya Korea Kaskazini.!
Sasa wanawake inabidi mje mtuambie kipi kinachofanya mpaka mumuogope kiasi hiko?
Vipi kinyongabora nimwone nyoka sio jongoo...
jongoo ana msisimko fulani hivi mmbaya[emoji22][emoji22][emoji22]
Naomba kumujua huyo rafiki yako ili niweze kumuomba chochote kile kitu nitakachokihitaji nikimuwekea jongoo...tehtehteh!!Yaani sijui kwanini akikugusa unaweza hata zimia, [emoji23][emoji23] nina rafiki yangu ukimuekea jongoo mbele yake chochote utachomuambia anakubali...sijui kwann tunaogopa kiasi hiki
yupo kushoto kwako hapobora nimwone nyoka sio jongoo...
jongoo ana msisimko fulani hivi mmbaya[emoji22][emoji22][emoji22]
Kwanin muogp hvyBora wao jongoo haonekani mara nyingi, wengine tunataman paka wapotee duniani maana tunaogopa kupita kiasi
hapana unakua unajiskia vbaya vbayahuu msisimko ndo uleee, wanaousema hehehe
Umesahau mende na vinyonga,Jongoo ni mdudu mdogo sana ambaye anaogopwa na jopo kubwa kabisa la wanawake,
Hii inafika mbali zaidi mpaka unakuta wanawake wanatoka nduki huku wakisasambua nguo zao, wengine hujikuta wanaruka Kung-Fu Panda bila kutegemea huku wakituachia TV ya bureee eti kisa wamekaona kajijongoo kanapita karibu yao!
-
Kitu kilichonifanya mpaka nishangae unakuta wengi ukiwauliza wanadai eti huwa wanamuogopa jongoo sana tena kuliko nyoka,
Umeona balaa hilo? Yani eti nyoka mwenye sumu kwao ni bwege tu, lakini akiona jongoo atapiga yowe utadhani U.S.A ameona mabomu ya Korea Kaskazini.!
Sasa wanawake inabidi mje mtuambie kipi kinachofanya mpaka mumuogope kiasi hiko?