Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 797
- 1,849
Kwenye hili hakuna hata kupepesa macho kama kwa sasa Jonathan Sowah ndiyo mshambuliaji hatari zaidi kwenye ligi kuu soka Tanzania bara
Mpaka sasa kama utagawa kwa idadi ya michezo ambazo amecheza na idadi ya magoli ambayo amefunga utaungana na mimi kwa hiki nikisemacho
Mwamba amecheza michezo 10 pekee na kufunga magoli 11 kwa maana hiyo ana zaidi ya asilima 100 ya kila mchezo kufunga goli sio namba za kitoto hizo brother
Sowah kwa namna ambavyo amekuwa na kasi ya kufunga wenda msimu huu akawa mfungaji bora bila ya ubishi wowote maana kwenye ligi hakuna mshambuliaji ambaye anaweza kukupatia angalau asilimia 80 ya kila mechi kufunga
Ukiangalia kwa kasi yake ambayo yuko nayo sio Dube, Mzize wala Ahoua jamaa kwenye kufunga Class yake ni kubwa mno sio ya kitoto hata kidogo itoshe kusema acheki na yeyote
Mpaka sasa
👉Ahoua amecheza michezo 21 akifunga magoli 12
👉 Dube yeye tayari amecheza michezo 23 na kufunga magoli 12
👉 Mzizi yeye pia michezo 23 amefunga magoli 11 pekee
Hivyo basi bila ya shaka yeyote Jonathan Sowah ndiyo mshambuliaji bora zaidi 2024/25.
@fungameza_jr
Mpaka sasa kama utagawa kwa idadi ya michezo ambazo amecheza na idadi ya magoli ambayo amefunga utaungana na mimi kwa hiki nikisemacho
Mwamba amecheza michezo 10 pekee na kufunga magoli 11 kwa maana hiyo ana zaidi ya asilima 100 ya kila mchezo kufunga goli sio namba za kitoto hizo brother
Sowah kwa namna ambavyo amekuwa na kasi ya kufunga wenda msimu huu akawa mfungaji bora bila ya ubishi wowote maana kwenye ligi hakuna mshambuliaji ambaye anaweza kukupatia angalau asilimia 80 ya kila mechi kufunga
Ukiangalia kwa kasi yake ambayo yuko nayo sio Dube, Mzize wala Ahoua jamaa kwenye kufunga Class yake ni kubwa mno sio ya kitoto hata kidogo itoshe kusema acheki na yeyote
Mpaka sasa
👉Ahoua amecheza michezo 21 akifunga magoli 12
👉 Dube yeye tayari amecheza michezo 23 na kufunga magoli 12
👉 Mzizi yeye pia michezo 23 amefunga magoli 11 pekee
Hivyo basi bila ya shaka yeyote Jonathan Sowah ndiyo mshambuliaji bora zaidi 2024/25.
@fungameza_jr