binamu nakuunga mkono paragraph ya mwish rohombaya wabongo zimezidi tunasubiri wawe mateja ili tuwacheke..
ila la kuweka jina na kutumia sura sio mbaya coz siyo wa kwanza kufanya hivyo hata Rihana, beyonce,lady gaga, wanauza perfume za brand name zao pia Pdidy kauza sana nguo kwa brand yake, Dillish nae wa BBA naye anauza lipstick zake kwa jina lake inasaidia kwa mashabiki kupay attention kwa bidhaa husika.
You are less informed! You don't know a thing about branding dada angu.
Hakuna aliyesema asiweke jina lake,kwa mfano,umesema P.Diddy jamaa alikuwa anatumia Sean John,how is that the same na kuweka lisura lote kwenye bidhaa?unadhani angetumia kidoti kama jina au logo watu wangesema?sio kiasi hiki,lisura likubwa kwenye ndala?
Wanavaa wale walioingia mjini leo na lorry la vitunguu au viazi!
All that i want to say is Jokate is better than this! Hapa kajishusha sana,sijui ni kakurupuka au target yake ya soko ni kwa washamba,sijui kwa kweli ila uhakika ni kuwa hii ni idea ya mtu mmoja dictator,either yeye au manager wake kama anaye,watu zaidi ya wawili hawawezi kuja na idea mbovu hivi ya branding
How awful do you people find this idea?
Daah! Picha kwenye ndala?
Nina mpango wa kuja na bidhaa kama chakula cha kurutubisha akili yako iwaze vyema! Nataka nitibu kilema cha akili yako!
Bongo "artistic license" kueleweka vigumu sana.
She is not running for public office now, is she?
She has a right to be tacky, it's not a crime.
Mbona bungeni mwenu wabunge wanakanyaga zulia lenye rangi za bendera ya taifa?
Regardless!
we kenge jokate kakuzidi akili mara mia,, we ni kiazi tu mwenye wivu kwa mafanikio ya jokate,,, fanya kazi acha kumtegemea dada yako akulishe ..kubwa zima akili kisoda
Sina dada!
Tool gani umetumia ya kupima akili yangu na Jokate?
Nitakosea kusema uropokaji must be one of your hobbies?
Sawa nimekusikia,nitaacha uduanzi(whatever that means)
Siwezi kumfikia!
Nimekusikia!
Bongo "artistic license" kueleweka vigumu sana.
She is not running for public office now, is she?
She has a right to be tacky, it's not a crime.
Mbona bungeni mwenu wabunge wanakanyaga zulia lenye rangi za bendera ya taifa?
bora we umesema maana wengine hapa tukijibu tutaanzisha tu malumbano yasiyo na msingi.. enzi zile zilitamba sana tshirts za akina nelly na eminem n.k lakini watu hawakusema kwann wanatumia picha zao na wasitumie name zao hivi mtu akisikia brand ni jina tu hata picha inaweza wakilisha brand ya mtu au kitu mbona bendera za nchi zina picha tu ila ni identity tosha. ila watu wanaonaajabu yy kuweka picha as long as kaamua mwenyewe aweke pcha yake.
You are less informed! You don't know a thing about branding dada angu.
Hakuna aliyesema asiweke jina lake,kwa mfano,umesema P.Diddy jamaa alikuwa anatumia Sean John,how is that the same na kuweka lisura lote kwenye bidhaa?unadhani angetumia kidoti kama jina au logo watu wangesema?sio kiasi hiki,lisura likubwa kwenye ndala?
Wanavaa wale walioingia mjini leo na lorry la vitunguu au viazi!
All that i want to say is Jokate is better than this! Hapa kajishusha sana,sijui ni kakurupuka au target yake ya soko ni kwa washamba,sijui kwa kweli ila uhakika ni kuwa hii ni idea ya mtu mmoja dictator,either yeye au manager wake kama anaye,watu zaidi ya wawili hawawezi kuja na idea mbovu hivi ya branding
Wanamkosea heshima dada yetu awe malaya au anything but she amefanya kitu kizur na cha kuigwa hayo mengine ni chuk tu za watu huwezi rizisha kila mtu in this lifeNaona watu wanalushiana vijembe na matusi tu.
Wanamkosea heshima dada yetu awe malaya au anything but she amefanya kitu kizur na cha kuigwa hayo mengine ni chuk tu za watu huwezi rizisha kila mtu in this life