PreGE2025 Jokate Mwegelo aongoza matembezi ya "First Time Voters"

PreGE2025 Jokate Mwegelo aongoza matembezi ya "First Time Voters"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Hivi kampeni zimeanza tayari? Kama bado, sio kosa kuanza kampeni mapema?
Kwa CCM wapo juu ya kila sheria campaign kwa ccm walisha zianza tangu 2023 ziara za kiserikali zinaunganishiwa na maswala ya kichama humo humo
 
Hivi ccm huwa hofu yao kubwa ni ipi? Maana hata ukifanyika uchaguzi wa huru na haki bado wana asilimia zaidi ya 70 kushinda kwa kishindo. Kuna vijiji huko ndani ndani hawaijui act wala chadema.
ndio ushangae, mtu ana wafuasi na amekwishawapa
  • boda
  • magari
  • kofia
  • fulana

lakini bado anaogopa sanduku la kura
 
Hawa wamelipwa! Kuna wanaotumika, kuna walioahidiwa nafasi, ila wacha watumike lakini hamna kitu!
 
Kwa CCM wapo juu ya kila sheria campaign kwa ccm walisha zianza tangu 2023 ziara za kiserikali zinaunganishiwa na maswala ya kichama humo humo
Wakiona wamezidiwa hoja wanatengeneza kesi mchongo kwa washindani wao,ndio maana hata walifanya teuzi za wagombea surprise
 
Sasa kama mnao wapiga kura wengi kwanini mama Samia asiweke box lenye haki ili ashinde kwa kishindo na wote tumpongeze mama yetu
BOx la haki wanaliogopa wanaweka box la amani mchongo kwa usimamizi wa policccm na chawa ccm tu kwenye chafuzi chaguzi?
 
Kijana jitambue acha kutumika kama mtaji wa wanasiasa.

Kijana simama dai haki zako za msingi, AJIRA, HUDUMA BORA ZA AFYA, ELIMU BORA, MIUNDO MBINU BORA, NK.

KIJANA SIMAMA DAI HAKI YAKO YA KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA BILA KUINGILIWA NA MTU, KURA YAKO IHESHIMIWE NA IFANYE MAAMUZI NA SIO WATU NDIO WAFANYE MAAMUZI BILA KUHESHIMU KURA YAKO.
 
Back
Top Bottom