Duh apa sijakusoma mkuu
Ulitak waonyesh nn tena?
Haha analipwa hela nyingi ! Si apige picha full ! Hahaa
:msela:
Sidhan kama ina maana sana kuweka mwili mzima, nadhan uso unatosha kwa kutangaza sabuni , angekuwa anafanya fashion show ndo ingekuwa poa kuonyesha mwili mzima labda kama una maana nyingine
Rumi ukiiangalia vizuri ile picha utagundua kuwa alikuwa Naked !
Sasa Wangepiga angalau ! Mpaka maeneo flani hivi ! Afu wakatuwekea !
Ingeongeza wateja ! Hasa akina males !
:msela: