Labda awe na personal issue nae....but dada dada anapiga kazi balaaMwambie akae chonjo, Mama Samia haangalii sura, hivyo kama akicheza atapigwa chini, sbb sijui vetting yake hadi akapewa uDC ni mashaka matupu. Vetting yake ina walakini sana huyu, naamini Mama Samia atampiga chini, ngoja tusubiri DCs wachaguliwe, najua huyu sijui kama atapona
Ndiyo utaratibu wetu sisi Wasambaa! Hata kama ana magari 10! Siku ya kwenda kuwasalimia wakwe milimani, atatakiwa kusafiri kwa usafiri wa umma ili kupunguza risk za kutupiwa Visimo na Zongo!! 😁😁😁Heeeeeee🤣🤣🤣
Umpandishe basi Tena ndugu?
Duh why! Jokate anafanya kazi nzuri hasa ya "advocacy". Amewahamasisha kwa kiasi kikubwa watoto wa kizaramo kwenda shule hasa wakike, anastahili pongezi. Kiongozi hapimwi kwa majengo anapimwa kwa kiasi gani ameweza kucreate awareness ya jambo fulani la manufaa katika jamii husika.Mwambie akae chonjo, Mama Samia haangalii sura, hivyo kama akicheza atapigwa chini, sbb sijui vetting yake hadi akapewa uDC ni mashaka matupu. Vetting yake ina walakini sana huyu, naamini Mama Samia atampiga chini, ngoja tusubiri DCs wachaguliwe, najua huyu sijui kama atapona
I hope she stays or gets a better position.Duh why! Jokate anafanya kazi nzuri hasa ya "advocacy". Amewahamasisha kwa kiasi kikubwa watoto wa kizaramo kwenda shule hasa wakike, anastahili pongezi. Kiongozi hapimwi kwa majengo anapimwa kwa kiasi gani ameweza kucreate awareness ya jambo fulani la manufaa katika jamii husika.
Kwanza kuna vetting at the first place?
Anaolewa na kale kajamaa kalikofukuzwa na mekoDC wa Kisarawe na mlimbwende Jokate Mwengelo umeuarifu Umma kupitia account zake za mitandaoni ya kwamba "sasa wakati wa Mungu umefika...."
Wengi wameona kama mdada Huyo kuhusu maswala yake ya mahusiano yamekuwa sawa awamu hii ya Sita tumpongeze Jokate
View attachment 1787560
😂😂😂 We mdau ni noma nimeamini unamchukia kikweli kweli huyu binti.Anapiga kazi kupitia TV na insta....anajulikana sana
Hapo tu...
Kazi kupiga ni subjective
Plus,that bitch is,fvkc it,I hate her for the sake of it yaani!
Washarishwa matango pori na yule dada wa marekani,anayeshindwa kutafuta kazi hata ya mgahawani,yeye kutwa kuwasema wenzie mitandaoni,yy mwenyewe yupo yupo kama boya,wenyewe wamempa jina dada wataifa na yeye kajipa jina la mwanaharakati.Anamini kutoka ktk chanzo chake cha kipuuzi cha "hide my ID" ,Joketi alipata cheo cha chupi.Duh why! Jokate anafanya kazi nzuri hasa ya "advocacy". Amewahamasisha kwa kiasi kikubwa watoto wa kizaramo kwenda shule hasa wakike, anastahili pongezi. Kiongozi hapimwi kwa majengo anapimwa kwa kiasi gani ameweza kucreate awareness ya jambo fulani la manufaa katika jamii husika.
Kwanza kuna vetting at the first place?
Atamtukana tu kimarekani fvck fvck! Yo yo yo!!! Mother fvcker 😁😁mpaka DC wangu Mrembo aviite🤙 vyombo vya dola kuja kumuweka mwamba chini ya ulinzi mkali!Vipi ukimkuta eneo ambalo mko wenyewe tu huwezi kumdhuru kukiwa na nafasi hiyo??
DuhMkuu
Ndio maana mkawepo nyie mnaompenda
Na sisi tusiompenda tupo,na ni kazi yetu kumchukia kama ilivyo kazi yenu kumpenda
Yaani I'm doing exactly what a hater is supposed to do,tena I'm very serious on my job,I dont play,I hate to daaaah maxxxx!
DuAnapiga kazi kupitia TV na insta....anajulikana sana
Hapo tu...
Kazi kupiga ni subjective
Plus,that bitch is,fvkc it,I hate her for the sake of it yaani!
Hivi we ni mgeni na Wyatt eeh!?We mdau ni noma nimeamini unamchukia kikweli kweli huyu binti.
Huyumbishi maneno, huna unafki ni direct unafanya kazi yako ya CHUKI. Mkuu saluti kwako umefuzu vigezo vyote vya mtu mwenye chuki. Vipi ukimkuta eneo ambalo mko wenyewe tu huwezi kumdhuru kukiwa na nafasi hiyo??
Kwani maza alikuwa anaponea kwa mwendazake?Na hasa kwa sababu ya maneno kwamba Mzee alikuwa akipona pale...wanawake hawachangii chungu/jiko
Mjane mara hiiiDC wa Kisarawe na mlimbwende Jokate Mwengelo umeuarifu Umma kupitia account zake za mitandaoni ya kwamba "sasa wakati wa Mungu umefika...."
Wengi wameona kama mdada Huyo kuhusu maswala yake ya mahusiano yamekuwa sawa awamu hii ya Sita tumpongeze Jokate
View attachment 1787560
Duh we jamaaaMkuu
Ndio maana mkawepo nyie mnaompenda
Na sisi tusiompenda tupo,na ni kazi yetu kumchukia kama ilivyo kazi yenu kumpenda
Yaani I'm doing exactly what a hater is supposed to do,tena I'm very serious on my job,I dont play,I hate to daaaah maxxxx!
Kwani ana watoto wangapi?Iwe heri tuu kwanye mahusiano yake.