Hasheem thabeet , January makamba, ay, fa,diamond, ommy dimpozi... haja ona mume mwema hapo?????? Kama sio uki cheche wake tu waka mpiga chini siangekua kaisha olewa.. mbaya zaidi ana mix adi washikaji!
Mkuu kumbe mpk makamba katusua???
nani anataka matatizo...mademu tunao oa ni wale wale kama washambashamba hivi mfano maticha au manesi...hawa kina kim kardashian wanafaa kuwa kama michepuko..
nani anataka matatizo...mademu tunao oa ni wale wale kama washambashamba hivi mfano maticha au manesi...hawa kina kim kardashian wanafaa kuwa kama michepuko..
Kweli k haisomi mita mana ingekuwa gari mwenzetu angekuwa ka mandolini!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hasheem thabeet , January makamba, ay, fa,diamond, ommy dimpozi... haja ona mume mwema hapo?????? Kama sio uki cheche wake tu waka mpiga chini siangekua kaisha olewa.. mbaya zaidi ana mix adi washikaji!
Aaaah aaah ntampasua sasa ivi huyu
hahaaaa...!
futa kauli tafadhali
niwieni radhi jamani..ndo yaliyokua moyoni wakati naisoma hii thread..